Mkuu wa Wilaya ya Kahama Vita Kawawa akisukuma pampu ya maji katika moja ya visima vinavyojengwa na mgodi wa Buzwagi kwa ajili ya wakazi wa kata ya Mwendakulima, wengine ni Meneja Mkuu wa Mgodi wa Buzwagi Mhandisi Asa Mwaipopo (aliyeinama) na Meneja wa Uendelezaji wa mgodi, George Mkanza
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Vita Kawawa Akiwa chini ya archi kilomita moja kutoka uso wa dunia akiwapongeza wafanyakazi wazawa katika mgodi wa Bulyanhulu kwa kufanya kazi ambazo zamani watanzania walikuwa hawawezi, Sasa Hali Imerahisihwa kwa Uwepo wa Mitambo ya Kisasa Zaidi
Mwenyekiti wa ccm wilaya ya kahama mwenye sharti la ccm Mabala Mlolwa akiwa na mkuu wa wilaya ya kahama Vita kawawa wakati wa kufanya usafi katika madhimisho ya miaka 39 ya kuzaliwa kwa Chama hicho.

Pamba na Mahindi- Kahama

princeton-97827_1280

Miongoni mwa Mazao yanalimwa sana Wilayani Kahama ni Pamba, Mahindi na Tumbaku. Angalia jinsi Uhamisashaji wa Mazao makuu mawili ulivyofanywa ili kuongeza

Ufugaji - Kahama

san-jose-92464_1280

Ufugaji wa ng'ombe umekuwa ukifanywa tangu enzi za mababu zetu na haiwahi tokea mfugaji kujua kwa nini anafanya ufugaji. Sababu kubwa ni faida ziletwazo na ufugaji

Mapato na Tumbaku

academic-2769_1280

Tumbaku ni zao la kibishara linalolimwa na kuvunwa ili kutengeneza sigara,kwa mkoa shinyanga zao hili linalimwa kwa wingi wilayani kahama mkoa wa shinyanga.Pia nizao linaloongoza kwa mapato wilayani kahama ikifatiwa na madini

No posts.
No posts.

Vita Kawawa

Vita Kawawa
Mkuu wa Wilaya ya Kahama

Popular Posts

About

Copyright © Kahama - Dc | Powered by Blogger
Design by Viva Themes | Blogger Theme by NewBloggerThemes.com